The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Diamond was not paid to perform at Davido’s Concert- Babu Tale reveals

Diamond graced the show as a surprise act

It has now emerged that the WCB President, who graced the show as a surprise act, was invited by his friend to offer him support while in Tanzania.

“Diamond na Davido ni marafiki na ni watu ambao wanaongoea mara kwa mara. Kwa hivyo sisi kama uongozi Diamond alitujulisha tu kuwa Davido anataka aperfom na yeye pale Next Door. Sisi kama Uongozi tulitoa blessings tukamwambnia ni sawa. Hutajalipwa hela zozote ule ulikuwa tu urafiki. Hata wenyeji wa Show walimuona tu Diamond Kwenye stage, hawakutarajia kabisa kuwa Diamond atakuwa pale” said Babu Tale

ADVERTISEMENT

The two singers performed their hit collabo ‘Number One remix’  and Kwangwaru that had the crowd going wild.

“Hata Davido mwenye hakuwa sure kama nitakwenda katika show yake. Nilimwambia Masaa kama matatu kabla nifike pale na nikamshauri ibaki surprise kwa mashabiki. Basi nilipofika pale watu walinipokea kwa nguvu kubwa sana, kesho yake habari ikawa ni hiyo tu. Nikapiga Kwa Ngwaru kidogo tu nikaisimamisha nikaona nisije nikaharibu show ya watu,” amesema Diamond.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT