The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Diamond Platnumz offends women with birthday wish to his son Nilan

The message has sparked a wild reaction

The hit maker of "Sikomi" took to his Instagram account to send his birthday wishes to his son, but the language he used was not appealing to female followers on his social media pages.

In his message, Chibu Dangote has urged his son to grow up and use women as he wish since money will not be a problem for he is doing everything to ensure he lives a good life.

The message clearly shows that the Wasafi CEO has no respect to women at all, going by the comments left under the photo.

ADVERTISEMENT

“Nasemaje! Kua Uje kuwatembezea Baba... We swala la Kutafta ela niachie mie... Jukumu lako ni moja tu, Kupita nao.....Happy 1st Year Lanny!!!” Reads Diamonds Post

Many of  his fans accused him of lack respect to women, saying probably  thats the main reason he is always cheating on his wife.

..No any smart woman wshing to have”

“Atawatembezea aho aho wasio na akili kama ww apo unao watembezea awana akili ndo mana kabemendwaaaaa na yy mnamtembezeaa kila siku watoto mnawaanika mitandaoni wanatukanwa angalia mastar kina dj Khalid watoto wao kina neyo kina mario watoto wao Sio ww kila siku unaibuka na jipyaa”

Others stated that like father like son, as the mango doesn’t fall far from the tree.

ADVERTISEMENT

“He most stupid birthday wish ever written by a father .Pesa ni kipimo kikubwa cha imani. Anaona ana pesa, anakula na kunywa, akiumwa atatibiwa nk. lkn kasahau kuwa mipango ya Mungu ni mikali. Mungu ni pendo lkn at the same time ni mkali sana.”

Mzazi anaejielewa humuombea mtoto/watoto kuishi katika njia zilizo sahihi na zenyekumpendeza Mungu... kunamatajir wangapi na wenye majina yao dunian na wanawatoto na hawaandiki unachokiandika dugu yetu.... Badilika huo ni uswahili uliopitilia... ww ni maarufu jaribu kujihesimu na kuwaombea baraka watoto wako coz maisha hubadilika kama uionavyo dunia, dunia si tambarare tu kunamilima, maziwa na bahari pia..... Jaribu kuwa na hofu ya Allah”

“I hate the caption too...but posting maybe he was too busy you never know...then Mama diamond nowdeis loves Nillan sana kama hangekuwa wake asingeshughulika you her...right.”

“Hata km damu sio yako, hutakiwi kuinenea maneno ya ajabu hivyo! Kumbuka unamtoto wa kike.”

“Well said mamii.... Kwa mzazi anaejielewa hawezi kusaport maisha ya kipuuzi kwa mtoto wake.... Diamond amekuwa sasa anahitaji kubadilika na aachane na uswahili”

ADVERTISEMENT

to grow up and speak blessings on his child.”

“Wew taira kweli daimondplatnumz inaonekana kabisa huyu nilan sio mtoto wako wakumzaa niwa ivan angekuwa wakwako usinge mpa mtoto maneno machafu namna hiyo hajui kitu chochote umesahau mzazi ni mungu Wa pili duniani sasa maneno gani una mnenea mwanao kama kweli ni damu yako kinywa kinaumba usishangae mtoto anakuwa mkubwa anakataa mpaka kwenda Shule anakimbilia maneno ulio mnenea alafu”

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT