The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Diamond Platnumz apologizes to his mother on behalf of Zari and Hamisa

He apologized on Saturday

The singer added that he is the one who goes looking for the women and his mother only finds him with them.

He went ahead and said that social media users will create teams to side with his baby mama’s but his children will continue to suffer for nothing.

ADVERTISEMENT

Here is his apology;

“Najua wakati mwingine wazazi wao wanakukwazaga sana, kutokana na Issue zetu Binafsi za mimi na wao kukuingiza wewe ama kukuletea lawama wewe ilhali maskini ya Mungu hata napowatoaga hujui, unaonaga tu na wewe ghafla niko na flani.... na kwa umri nilofikia hata kama hupendezwi kias gani, ila huwezi nichapa viboko ama kunicontrol kuwa eti kwanini niko na fulani....hivyo ni kosa langu mimi binafsi ila wao wanatakaga kukupa lawama kama wewe jaji wa mahusiano yangu... ila kwa Upendo wako kwangu naomba Unisamehe mie kwani ndie Chanzo cha Hayo yote... na Uwapende Wajukuu zako wote kwani ni watoto na hawajui chochote.....Na wakukwazapo Wazazi wao Wakuwahukumu wao hata wakitumia ngao ya watoto kukukwaza.......

Watu wa Mitandaoni watasheherekea na kuunda timu kwa faida za Mam za watotoila si kwa faida za watoto maana hakuna hata mkoja alowai nichangia hata ela ya pempaz kwanhawa watoto, na wakimaliza kuchonganisha familia yetu kupitia mitandao, wao wanarudi makwao kukaa na nafamilia zao huku weww wnakutengenezea matabaka katika familia yao.....Mama angu kipenzi familia nilokuletea Mwanao ni , hao ndio familia yako tokea kwangu, na siku nikioa huyo ndio atakuwa mwengine kwenye Famiia..... Nakupenda sana na Nakutakia Maisha maref yenye furaha na Afya Tele Mama,” wrote Diamond Platnumz.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT