The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Diamond Platnumz comes clean on why he wore anklet on his leg

Niliona ni urembo kama urembo mwingine

The Wasafi Recording label C.E.O caused chaos among his fans who called him out after he uploaded a picture on his Instagram.

The Ukimwona hit maker, while speaking to Global publishers stated that he did not see anything wrong with the anklet he wore.

“Kwanza sijui kama kile ni kikuku, nilivaa kama ninavyovaa mikufu au cheni. Niliona ni urembo kama urembo mwingine na kwamba haiwezi kuwa ishu kubwa kama ilivyotokea. Ninawaomba chondechonde waache kunihusisha na jambo hilo baya, ujue nyuma yangu kuna watu wengi mno wanatamani kuwa kama mimi hasa vijana wadogo," he stated.

ADVERTISEMENT

Please don't

The father of three pleaded not to be associated with homosexuality as it portrays a bad picture among those who desire to be like him.

“Sasa wakiona ninahusishwa na jambo ambalo linapigwa vita nchini mwetu, wataacha kunifuatilia kama mtu wanayetamani kuwa kama yeye. Lakini unajua imekuwa ni kasumba kwa watu maarufu kuhusishwa na jambo hilo ili kuwajengea picha fulani kwa mashabiki au wafuatiliaji wake. Mtu kama marehemu Michael Jackson alikuwa akihusishwa na ushoga, lakini hakuna aliyekuwa na ushahidi labda ilitokana tu na ishu za kujibadilisha mwili au sura. Kwa hiyo si jambo geni kwa watu maarufu kusikia eti fulani ni shoga. Jambo hilo linaweza kuwa linatengenezwa na mpinzani wako."

ADVERTISEMENT

“Hata Cristiano Ronaldo amekuwa akihusishwa na ushoga, lakini amekuwa akipotezea na kuendelea kupiga hela. Kama nilivyosema si jambo geni lakini limenichefua sana.”

Sorry

He concluded by apologizing to anyone he might have offended by his actions.

“Najua mimi kama mtu wao nimewaudhi hivyo ninawaomba radhi na nisingependa waendee kunihusisha na dhambi hiyo,” he concluded.

ADVERTISEMENT

Diamond is currently in the U.S promoting the album A boy from Tandale.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT