The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Hamisa Mobetto's emotional response to Diamond after his sister attacked her in explosive interview

This comes after Esma attacked her in an interview

“Nilivyoona ile video nimemiss uwepo wake Zari vile anavyomtreat Naseeb, akija atakuta nyumba iko chafu, atachachukua manguo yote afue asafishe nyumba yaani ni mwanamke ambaye ni msafi, ni mwanamke amabaye anamjali mwanaume wake awepo ama asikuwepo. Akiwepo anamjali Zaidi kwenye kula, kwenye nini kwahiyo kuna vitu vingi tumekumbuka ambavyo Naseeb havipati,” she said.

ADVERTISEMENT

“Unajua Bado nakutafakari, Hivi dada angu ile interview yako ya jana, ni Swaumu ilikuwa kali ukaamua umalizie Hasira zako kwangu ama???.... Maana kusema Pengine Ulilewa kwa mwezi huu mtukufu Hapana....Yani jana, kama sio wewe vile uliyekujaga na Hamisa kwenye Birthday, na 40 ya Nillan na sare Mkashona, na kutunza juu....Dah Mungu anakuona,” said the Number One hit maker.

Hamisa Mobetto then responded in an emotional comment on Diamond's post that she was tired of being blamed for things she has not done, adding that there is a lot she could tell the media but she has kept quiet because she does not want her son to grow and see.

She also warned Diamond to man up and tell his family to keep off her affairs or at least respect their blood if they cannot let Hamisa be.

“Ndo uoe Huyo Mwanamke ambae anatakiwa na Ndugu zako… na manager zako bila kusahau mashabiki… sio kutwa mie mtoto wa watu naandamwa na kukaliwa mie kooni!!!Sijakuita wala kukufunga Kamba……Kila siku maneno mimi Kwani alishindwa kukufata kukushauri? Unapokaa hapajui, number ya simu yako pia hana?.... kwani mie hayo maTv hayaombi kuniomba kunihoji mbona nakaa kimya?

ADVERTISEMENT

Na pia waambie unahitaji Mke sio House girl wa Nyumba… Mwanamke kazi yake kukupikia Ule… Nk, au nlikua sikupikii tena sio wewe tu na Ndugu zako mkala na kusaza?... leo imekuwa hamisa hajui kupika kusafisha nyumba kwahiyo chumba chako tukimaliza lalana huwa anasafisha nani? Au walitaka niende kuwafulia vyupi vyao nikimaliza niwapigie deki mpaka chumbani kwao? Wakishindwa kuniheshimu basi waambie waheshimu damu yako. The End!” said Hamisa.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT