Harmonize raises eyebrows after sharing photos of Diamond's ex-girlfriends
Konde boy in trouble?
Recommended articles
Konde boy stated that he could not however advice his boss or anyone when it came to matters of the heart, because it all depends on how one feels.
“Swala la kimahusiano lina Nyanja nyingi tofauti tofauti, binafsi napataga wakati mgumu kushauri mtu kuhusiana na mahusiano kwa sababu wanasemaga kinachomfaa mtu anakijua mwenyewe, kifaacho mtu ni chake unaweza kumshauri mtu hivi kumbe mwenzio anaona upande huu. Mimi Diamond hata akiniambia leo mdogo wangu kesho tunarudi kwa chungu kikubwa kwa madam pale Sepetu niko naye kwa sababu mimi naangalia bendera ilipoelemea na huko nipo kwa sababu swala la kimapenzi huwezi kumshauri mtu. Mimi yeyote yule, akiniambia leo turudi SA niko pale Pretoria hutoamini na Instagram itakavyo pinduka na caption mpya. Akaniambia bana official tunachukua Hamisa tunaweka ndani niko,” said Harmonize.
Harmonize was forced to explain himself after he posted a photo of Diamond’s baby mama Hamisa Mobetto which he captioned. “Sina mashaka maana najua mzani uliko elemea....!!! ....!!!!”
He also shared Wema Sepetu’s photo with the caption “Mara Nge.....!!!! tumerudi zetu kwa fundi wa mapishi mtaaaalam....!!!! tutaziweka wapi hizi sura zetu mana mwenyewe hatabirikagi nahivi nasikia anakipindi .”
Eyewitness? Submit your stories now via social or:
Email: news@pulselive.co.ke