The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

She bought me food every day – Gospel singer reveals how Huddah Monroe helped him

Huddah changed my life!

Gospel singer Kizo-B and Socialite Huddah Monroe

Kenya based Tanzanian singer Kizo-B has for the first time revealed details of how Kenyan socialite Huddah Monroe helped kick start his music career.

Speaking in a recent interview, Kizo-B who recently switched from secular to Gospel music said that Huddah was the first person to believe in him when he was nobody and had nothing.

He narrated how they met at a studio called Brimstone where he shared his story with Huddah and after that the socialite kept on coming back, and for a month she bought him chips and juice every day.

ADVERTISEMENT

Huddah alinisaidia sana. Ndio alikuwa mtu wa kwanza kuchukua ‘ulinibeep’ na kuisambaza kwa watu. Kuna studio inatwa Brimstone hapo Koja na kashop flani walikuwa wanapenda sana kutengeneza juice za maembe. Hizo time Huddah hakuwa amegrow but she was still beautiful vile ako sahizi na alikuwa anajuana na mabigfish kama kina Kajairo na wengine. Tukakutana nayeye Brimstone nikamueleza shida yangu. Uzuri ni kwamba alikuwa ana kadoo kidogo so for one month alikuwa anatoka mahali alikuwa anatoka maziwa kwao anakuja tao ananinunulia chipo na juice nikule juu ya hio ngoma yangu akisema wewe utatoboa,” he narrated.

He went on to say that Huddah carried a copy of his CD everywhere she went and she was the first person who introduced him to Kajairo who was then a radio presenter at Q-FM and that’s how things changed for him.

He then moved from the streets where he stayed and went to live with Kajairo.

Alikuwa anatembea na CD yangu kwa handbag yake, akapea Kajairo. Kajairo after kusikia hio ngoma akatuma Huddah akamwambia nataka kuona huyu msanii, so sikuwa na simu so Huddah kile alifanya kwa sababu alikuwa najua mahali nilipenda kushinda akakuja huko akaniambia saa kumi onana na Kajairo pale Nation Centre anakutafuta. Kajairo akaniambia unaimba vizuri sana unaishi wapi nikamueleza sina mahali pa kukaa, nalala kwa studio na kwa roundabout pale Koja kabla wabomoe. Akaniambia anaishi hapo pande za integrity Centre if you don’t mind unaeza kuja ukae tuone vile tunaweza fanya music your music. Akaninunulia simu yangu ya kwanza,” said Kizo-B in the interview with Mseto East Africa.

ADVERTISEMENT

Kizo-B is famed for the song "Ulinibeep"

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT