The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Mzee Abdul makes important appeal to his son Diamond Platnumz

Check out what Mzee Abdul wants from Diamond

"Kile Ningepende Mtoto wangu Diamond anifanyie sasa hivi ni , naomba aninunulie nyumbana pia akiweza anipe mtaji kwa ajili ya biashara ndogomdogo ambazo nimezoea kuzifanya kama zile za mitumba. Kwa sasa siwezi sema nahitaji gari kwa sababu hivyo sio vitu vya muhimu sana kwangu,” said Mzee Abdul.

Fatherly advice

ADVERTISEMENT

Mzee Abdul also commented on Hamisa and Diamond’s wrangles, advising that the two should settle their differences and live in peace.

In February, the “Sikomi” hit maker disclosed that he still talks to his “Deadbeat” father and helps him whenever he can.

Mzee Juma abandoned Diamond and his mother while the WCB CEO was still a small boy and resurfaced after the singer become a superstar.

"Babangu tunawasiliana naye…Upande wa kumsaidia namsaidia ikiwa sina uwezo pia sina uwezo. Lakini bahati mbaya hatuna ukaribu kama nilivyo na mamangu, Kuishi pamoja, Kusafiri pamoja. Hatujazoena hivyo, kwa pengine watu kuniona siko na yeye katika hadara wanaona kama Diamond ana vita na babake. Kuna baadhi ya watu wengine wamekuwan na mazoea mabya ya kwenda na Babangu getini Kwangu na kumpigisha pisha kisha waseme nimemfungia geti, sio fresh aisee. Sio kila mtoto ambaye haishi ma wazazi wake mambo yao sio fresh ,” said Diamond.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT