The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Ommy Dimpoz pens down powerful message days after being discharged from ICU

Quick Recovery Ommy

The Wanje singer who is celebrating his Birthday on September 13th, has disclosed the struggles he has undergone for the past five months.

Ommy's Message

ADVERTISEMENT

“Leo 13th September ni kumbukumbu yangu ya siku ya kuzaliwa. Namshukuru sana Mwenyezi Mungu (ALHAMDULILAAH) kwa kunipa nafasi ya kuuona mwaka mwingine, kwani niliyoyapitia katika kipindi cha takribani miezi 5 kama ingekuwa sio mapenzi yake yeye (M/Mungu) basi ingekuwa imebaki history. Nilichojifunza kipindi hichi chote ni kuwa kuumwa ni Ibada na sisi kama binadamu hatujakamilika leo unaweza kuwa mzima na kesho ukawa mahututi kitandani, ndio maana nimeamua kushare picha ambayo nilipigwa nikiwa ICU japo nafahamu sio kitu kizuri kupost picha kama hii kwenye mitandao ila nia yangu ni kujaribu kukumbushana sisi kama Binadamu kuwa kuna leo na kesho kwahiyo tusiishi kwa chuki na Uadui maana hatujui kesho yetu itakuwaje!!”

“Kuna kipindi wakati nimelazwa nilikata tamaa ya kuishi nikaona labda muda wangu umekwisha lakini hapo Hospital akaletwa mgonjwa mwingine ambae alikuwa pembeni yangu alishambuliwa na majambazi kwa risasi tisa mwilini lakini madaktari wakafanikiwa kuokoa maisha yake na akapona so nikajiuliza mimi ni nani nikate tamaa ya kuishi na nikajifunza kwamba kuugua sio kufa, Ni vyema tukipata nafasi basi tuwaombee na kuwafariji wagonjwa kwani wanayoyapitia ni magumu mno. Kwasasa namshukuru Mwenyezi Mungu naendelea vizuri na bado niko kwenye recovering, pia nawashukuru watu wote ambao mmekuwa mkiniombea dua nipone kwa haraka kuanzia mashabiki mpaka wasanii wenzangu na kila mtu aliyeniombea kwa imani yake Nashukuru sana. Mungu awabariki sana,” reads part of his post

“Pia Shukran za dhati kwa Familia yangu, Marafiki zangu wa Karibu, Management yangu ROCKSTAR FAMILY na my lovely Manager ambaye amehangaika na mimi mfano wa Mama Mzazi na mtoto wake pamoja na my Big Brother Governor  ambaye ameniuguza kwa kipindi hichi chote chini ya uangalizi wake na Madaktari kuanzia Kenya Mpaka South Africa.ASANTENI SANA NA INSHAALLAAH KWA UWEZO WA ALLAAH I WILL COME BACK STRONGER” reads part of his post

Currently, Ommy is back to his feet after under going through two successful surgeries in South Africa.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

Recommended articles

Femi One's next big goal after recognition by the Grammy's

Femi One's next big goal after recognition by the Grammy's

Amani explains how submission works in her 7-year marriage

Amani explains how submission works in her 7-year marriage

Diana B reacts after finding her Nigerian doppelganger

Diana B reacts after finding her Nigerian doppelganger

Netizens console NTV's Smirti Vidyarthi following emotional moment on live newscast

Netizens console NTV's Smirti Vidyarthi following emotional moment on live newscast

Last-minute job offer that saved Bonnie Musambi from taking his life

Last-minute job offer that saved Bonnie Musambi from taking his life

Meet Elly Wee: The rising star of Dancehall & Reggae music in Kenya

Meet Elly Wee: The rising star of Dancehall & Reggae music in Kenya

Notable Kenyans who've passed away since the beginning of 2024

Notable Kenyans who've passed away since the beginning of 2024

Outcry as Eric Omondi exposes alleged brutality by county askaris [Video]

Outcry as Eric Omondi exposes alleged brutality by county askaris [Video]

Beryl Itindi's pregnancy craving that forced a stranger to hastily exit a matatu

Beryl Itindi's pregnancy craving that forced a stranger to hastily exit a matatu

ADVERTISEMENT