The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Alikiba finally reveals the cause of his beef with Diamond [Video]

"You cannot compare me to Diamond"

The RockStar CEO disclosed that his fall out with Diamond was caused by disrespect that the singer showed while they were working together.

“Kuna Kipindi alinikosea. Mimi ninamsuporti kila msanii wa Tanzania,Sikatai anaimba vuzuri, Watu Wengine ambao hawajui wanaweza kumuamini Diamond, Kila mtu anamapenzi yake , Sikuwahi Kufikiria kufanya Nyimbo pamoja na yeye, ila alinipigia simu baada ya single Boy kuleak, tayari nilikuwa nishafanya na Lady Jaydee, Akaisikia kwa simu akaniambia kuna nyimbo nimeskia ningependa kushiriki. Akanipa Mpaka idea ya video, lakini mimi niliona itakaa Vizuri ikiwa Single Boy na Single Girl, hicho ndicho nilimjibu. Baada ya kama ya wiki Moja nikakuja kuona kwenye mablog mpka nikapigiwa simu kuwa mimi Nimemfuta kwenye Nyimbo ya Single Boy, Wakati yeye ndiye aliyenifuta kwenye nyimbo yake. Shahidi ni producer wangu KJT.” said Alikiba.

ADVERTISEMENT

Lyrics

He added that he had met with Diamond at G Records and the WCB President asked him to add his lyrics in a song he had already recorded.

“Nikawa nataka kuondoka, ila akaniambia niingize zile Sauti zangu za juu, Nikanfanyia vizuri, lakini sasa nikakuja kuskia Nyimbo imetoka na ameimba yeye kama vile mimi nilikuwa nimeimba. Nikahisi kama amenyifanya mtoto wakati mimi ni mkubwa wake. Kikubwa ikasemekana kuwa mimi nilimfuta Diamond wakati hata hatukuenda studio kurecord. Sina sababu yakumchukia mtu lakini nina uwezo wa kuachana na mtu kabisa." added Alikiba

"Wakati nimeskia taarifa kuwa Diamond asema nimefuta Mashairi  yake Kwa nyimbo yangu. Nilimpigia simu, lakini akakana kuwa sio yeye aliyetoa taarifa kuwa Nimemtoa kwa nyimbo yangu. So mimi sipendi kuonekana stupid so niliona ni bora kunyamaza tu hilo lipite. Mimi sijutie, am happy kuwa yeye kufanikiwa, anarepresent Nchi yetu. Anajitahidi, honestly sometimes nakuwa mshabiki wa nyimbo Nzuri. Mimi sio mshabiki wa Diamond, lakini Kuna Nyimbo ambazo ameimba vizuri."

ADVERTISEMENT

However, asked on who he rates as the biggest Artiste in the Bongo Flava Industry, Ali said “Mafans wengi wananiam bia mbona unamwachia Diamond, Ofcourse mimi huwezi kunishiundanisha Diamiond mimi nimeanza Muziki kitambo kabla yeye, Diamond anaweza kushinda na watu ameanza nao muziki, not Alikiba. Kizuri kikikosekana, Kibaya pia kinaonekana Kizuri.

Video

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT