Pulse logo
Pulse Region

Alikiba set to play football

Changing career for good?

Chekecha singer Alikiba is set to sign for Tanzanian Premier League side Coastal Union.

According to Bongo5, the club’s chairman Steve Mguto while speaking to E FM, revealed that the two parties are in talks and are keen to land the Tanzanian music superstar.

Good player

The Chairman noted that Alikiba is a good player despite not having the fitness needed since he has not been training like the others.

Recommended For You

“Kiukweli siku zimebaki kidogo lakini na sisis kama zoezi letu limefikia ukingoni nafikiri mpaka kesho tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kueleza nani na nani tumemsajili. Kwa sababu kwa sasa ndiyo tunamalizia watu wengine maswala ya mikataba sasa sirahisi kuweza kumtaja mkataba bado haja saini mwisho wasiku anaweza akageuza nia na ikawa kitu kingine.

Read Also: Diamond and Ali Kiba performed together in UK- Music Group ShiiKANE reveals

"Kwa kiasi kidogo kuna ukweli wa kutaka kumsaini Alikiba lakini pia mambo haya jakaa sana sawa lakini wenyewe mnamuona naye ni mchezaji ingawaje si wa kiwango cha juu kwasababu hana mazoezi ya mara kwa mara ya kucheza mpira hivyo kuwa katika mazungumzo ni kweli.”

The club has lifted two Nyerere Cups and one Tanzania Mainland League cup. The club plays its home games at Mkwakwani Stadium.

Subscribe to receive daily news updates.