Alikiba set to play football
Changing career for good?
Recommended articles
According to Bongo5, the club’s chairman Steve Mguto while speaking to E FM, revealed that the two parties are in talks and are keen to land the Tanzanian music superstar.
Good player
The Chairman noted that Alikiba is a good player despite not having the fitness needed since he has not been training like the others.
“Kiukweli siku zimebaki kidogo lakini na sisis kama zoezi letu limefikia ukingoni nafikiri mpaka kesho tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kueleza nani na nani tumemsajili. Kwa sababu kwa sasa ndiyo tunamalizia watu wengine maswala ya mikataba sasa sirahisi kuweza kumtaja mkataba bado haja saini mwisho wasiku anaweza akageuza nia na ikawa kitu kingine.
"Kwa kiasi kidogo kuna ukweli wa kutaka kumsaini Alikiba lakini pia mambo haya jakaa sana sawa lakini wenyewe mnamuona naye ni mchezaji ingawaje si wa kiwango cha juu kwasababu hana mazoezi ya mara kwa mara ya kucheza mpira hivyo kuwa katika mazungumzo ni kweli.”
The club has lifted two Nyerere Cups and one Tanzania Mainland League cup. The club plays its home games at Mkwakwani Stadium.
Eyewitness? Submit your stories now via social or:
Email: news@pulselive.co.ke