WCB signee Rajab Abdul Kahali aka Harmonize has finally responded after a video went viral showing him putting a ring on his girlfriend’s finger as a sign of engagement.
In an exclusive interview with Pulselive.co.ke Harmonize disclosed that he is yet to take his relationship to the next level, as he is taking things step by step.
“Kuna wakati Video ilikuwa Mtandaoni ikikuonyesha ukimvisha Pete penzi wako Sarah, Je ni kweli kwamba ushamfanyia engagement?” asked the Pulselive journalist.
“Sijamvisha Pete mchumba wangu,… na Ndoa bado unajua siku zote ndoa ni mipango na ikifika wakati wa engagement nitawatangazia” Harmonize responded.
Jealousy
He also addressed the issue of his girlfriend being jealous whenever he takes pictures with Female fans.
“Sio Kitu Kibaya maanake wivu pia ni Mapenzi, lakini kitu ambacho Sarah inafaa ajue kuwa ukikubali kuwa na Msanii lazima kuna vitu lazima tu ukubaliane navyo tu. Na Life style ya msanii inakaa vipi kuna wengine ni mashabiki na siwezi goma kupiga picha nao maanake bila wao mimi sipo. Kwa hivyo natumai tu anafaa kuelekezwa alafu atajua jinsi ya kuhandle situation kama hizo” Said Harmonize
“Album yangu nitakuwa naachia Januari mwaka ujao. Nimeanza kurekodi kuanzia Mwezi watatu na ambacho nikifanya ni kuhakikisha kuwa Muziki wetu ambao tumeimba katika Kishwahili unafika kote duniani. Nataka Album yangu iwe na wasanii kutoka Kenya, Rwanda, Nigeria, South Africa Uganda, Jamaica, Marekani na kote kote. Mpaka kufikia mwezi wa Kumi na Mbili Album itakuwa imekamilika na Januari inatoka."
Video