The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Diamond has not talked to his kids for 5 months- Babu Tale

Babu Tale is in South Africa to reconcile Zari with Diamond

During a Phone Interview with a local Website in Tanzania, Tale revealed that Diamond has not been in communication with his ex-wife and kids since their break up.

“Kilichonileta South Africa si kumleta Zari Kwa Diamond, la! Kilichonisukuma ni watoto , maana watoto wanahitaji mapenzi ya Baba yao, kwa hiyo nimeongea na Zari kuwa you guys need to settle your differences, maana watu huachana lakini still they talk, Wanazungumza kuhusu familia zao zinaendelea aje, Nashukukuru Mungu Zari amenielewa na pia nimempigia Diamond simu na pia amenielewa. Kwa miezi mitano yoyote hiyo iliyopita, Diamond hajaongea na watoto wake. Na hili ndo lilikuwa linaniuma sana” said Babu Tale.

ADVERTISEMENT

He added that nobody sent him to Pretoria to talk to Zari, as it was his own personal initiative to ensure that the family of his artiste is back together.

“Hakuna aliyenituma mimi kuja huku. Ili niwe mfano mzuri ni lazima nisisame kwa ajili ya familia, Sijakuja kumshauri Zari arudinane na Diamond Kimapenzi, La! Nimekuja kuhakikisha Diamond azingatie familia na watoto wake. Ikitokea wamepatana wennye wamepatana na wanataka kurudian kimapenzi well and good. Lakini mimi langu kubwa ni watoto wawe karibu na baba yao, nataka utofauti wao uishe na wazungumze kama kitambo. Zari si Mzigo eti nimbebe nimlete Tanzania, anabiashara huku kwa hivyo, naomba tu waelewane tu.” added Babu Tale

Find a solution

However, Tale disclosed that he was looking forward to bringing Diamond and Zari on one table so that he would listen to both sides of the story and hopefully find a solution.

ADVERTISEMENT

. Tuongea pamaoja nione maongezi ya Zari na Maongezi ya Diamond alafu tupate suluhu ya pamaoja. Naami nitayamaliza,” said Babu Tale.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT