The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Diamond anajiover dose- Babu Tale speaks out after viral video

Diamond has over 27 upcoming shows

Diamond with Babu Tale

Diamond Platnumz Manager Babu Tale has revealed that it’s about time they get his artiste a personal doctor to examine him due to his over working nature.

Tale mentioned that Platnumz rarely gets time to rest, as he is very handy in anything that involves him, with lots of shows on his name.

The Manager stated that the WCB President is always booked, making it hard for him to rest, a thing that might affect his general health. So as an early precaution they are considering getting him a personal doctor who will be examining.

ADVERTISEMENT

Diamond anajiover dose na Kazi

“Diamond Platnumz Hapumziki Kabisa, Tunatafakari Kumtafutia Daktari wake mwenyewe tu, Aangalie Afya yake maana anajiover dose na kazi. Diamond anaanda Nguo yake ya kuvaa mwenyewe, anajistyle mwenyewe, video zake anafanya mwenye muda wa kuedit. Ni mtu ambaye anafanya vitu vingi, kama tunekuwa nchi zilizo endelea basi Diamond anahitaji Doctor wake. Diamond anajiover dose. Juzi kumekuwa na video iliyosambaa ukimuonyesha Diamond kama mtu ambaye hayuko sawa, lakini uweli ni kwamba ile video ilichuliwa wakati anawatch Rayvanny akiperfom na huku anajibu maswali, nao watu wakatafsiri kivyao"

"Of course hawezi kuwa sawa maana anafanya vitu vingi kwa wakati mmoja. Msani wetu yulko na shows nyingi sana, unaweza ukaona kuwa ni high dose tunampa , lakini wanasema kama ni muda wako wakutafuta basi tafuta. Tunapambana na wakati tunapambana tunafyonza damu ya yule dogo. So we need someone ambaye atatusaidia na huyo ni doctor labda" said Tale.

Who is the King of Bongo Flava?

ADVERTISEMENT

Tale also quashed reports that Harmonize is now bigger than his Boss Chibu Dangote musically.

“Harmonize atashindana vipi na Diamond Platnumz wakati Kazi zake zote ni lazima Zipitie kwa Diamond. Kabla hajaachia wimbo uongozi ni lazima upitishe kwanza na Mkataba wa WCB haumkatazi msanii kuondoka. Nikiskia @diamondplatnumz na @harmonize_tz wanashindanishwa huwa nafurahi, Lakini huwa najiuliza Harmonize na yeye ana mawazo kama yangu au na Yeye anajisahau kwenye kushindanishwa?" Said Babu Tale.

According to a calendar released by the Sikomi hit-maker, he has over 27 up coming shows on his name around the world.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT