Diamond’s father denies fathering another child
Nilipomuuliza jina la baba yake alitaja lingine kabisa tofauti na langu.
Recommended articles
This came after Emmanuel came looking for Diamond’s father at his home claiming that he is his son.
Read Also: Diamond buys Hamisa Mobetto a mansion
Different name
However, narrating the story, Abdul Juma revealed that the boy looked confused and gave a different name when asked who his real father was.
“Nilikuwa katika pilikapilika zangu, mara nikapigiwa simu nikaambiwa kuwa kuna mgeni wangu nyumbani, nilipouliza ni nani nikaambiwa ni ndugu yake Diamond ambaye ni muimbaji pia katokea Kigoma.”
“Baada ya kumaliza pilika zangu nilirudi nyumbani na kweli nikamkuta kijana huyo lakini cha kushangaza alikuwa anatetereka sana kujibu maswali kwa sababu hata nilipomuuliza jina la baba yake alitaja lingine kabisa tofauti na langu.”
Read Also: I regret i dumped my ex Jokate Mwegelo
Steal
Emmanuel seemed to have other plans as he was caught later at night trying to steal from the neighbours who were yearning for his blood.
“Na kwa kuwa ilikuwa usiku nikaona si vema nikamruhusu aondoke hivyo nikamchukua mpaka nyumbani kwa mjumbe, lakini tulipofika pale mjumbe alikataa kuamka, basi tulirudi nyumbani nikamwambia alale hapo kutakapopambazuka ndiyo aondoke.
Kabla asubuhi haijafika, nilikuja kugongewa mida ya saa sita usiku na mjumbe kuwa uyo kijana karuka geti na anataka kuiba vioo vya magari ya watu yaliyokuwa yamepaki nje, walitaka wampige lakini niliwaomba wasifanye hivyo, wakamuachia akaondoka na mpaka sasa sijui alipo.”
Read Also: Diamond escapes death by whisker
Not the first one
Abdul Juma divulged that Emmanuel was not the first person claiming to be his son as most of them try to find a way to get close to his celebrity son Diamond.
“Unajua huyu siyo kijana wa kwanza kuja na kudai kuwa mimi ni baba yao, wanatafutaga njia ya kutaka kuonana na Diamond lakini wanashindwa kutokana na mama yake kule ni mkali hawawezi kuingia, kwa hiyo wanataka waje kwangu kwa sababu wanajua nafika kwa Diamond.
“Wanahisi wakidanganya hivyo itakuwa rahisi mimi kuwakutanisha kitu ambacho hakiwezekani, narudia tena mimi sina mtoto wa nje kwa sababu watoto wangu wote nawafahamu,” he told Global Publishers.
Diamond and his father have had a sour relationship over the years. Abdul Juma tried to make peace with him and his mom Sanura Kasimu but his cries fell into deaf ears.
Abdul separated from his wife while Diamond was only six years old leaving her to raise the now mega star.
Eyewitness? Submit your stories now via social or:
Email: news@pulselive.co.ke