Pulse logo
Pulse Region

Diamond forced to apologise in public

The bongo flava king forced to eat a humble pie

Nasseb Abdul Juma aka Diamond Platnumz has been forced to aplogise in public after his romantic video with Hamisa Mobetto went viral of social media.

Speaking after a meeting with officials from the Tanzania Communications Regulatory Authority, Diamond and his fellow singer Nandy apologized to the public over their indecent acts that caused a stir online.

“Juzi kulikwa na picha ambazo zinanihusu na ambazo hazikuwa nzuri kiukweli, na kwa mtu ambaye ziliwakwaza tusameheane tu bure, na naamini kuwa mambo yamekaa vizuri, nitakuwa wa kwanza kuipa heshima serekali yangu, na kama mnavyo ifuatilizia mambo yangu tufuatilizia pia na hili (As a role model to many young people, not just in Tanzania, posting a private moment was irresponsible of me.)” said Diamond Platnumz

He added that they reported to the TCRA offices to be enlightened on how to handle  their issues on social media, without running in trouble with the governement.

Recommended For You
Lifestyle
2025-03-18T12:40:12+00:00
Rachel Ruto is no stranger to making bold yet elegant fashion statements, but during the state visit of the Dutch royals on March 18, 2025, it wasn’t just her outfit that stood out—it was her shoes. The Kenyan First Lady stepped out in a pair of brown suede block heels adorned with a gold emblem.
The Sh83K shoes that completed Rachel Ruto’s State Visit look

ALSO READ: Zari Hassan speaks for the first time after Diamond’s ratchet video with Hamisa

“Siku ya leo nilikuwa nimekuja hapa TCRA ili kupata mafunzo kuhusiana na matumizi ya Mitandao.mimi ni kijana nambaye naweza kuwa ni bingwa kwa kuwa na mashabiki wengi, inaamana kuwa nafuatilia na vijana wengi sana, wakati mwinge wanaiga kupitia kile ninachokifanya mimi. Vijana wengi wamaekuwa wanaami kwamba mtandao ni kama chumba, kumbe wanashundwa kuelewa kuwa mtandao ni kama hadhara, kile hufai kufanya pale barabarani basi pale mtandao pia haitakiwi kuvifanya mtandao.

"Yale yaliyotokea labda ndio kilikuwa chanzo cha sisi kukaa hapa na kuelimishana, Tunajua wasanii wanadrama zao ila kanuni zimebadilika, tukiwa tunaenda na image ambayo si nzuri nje ya Tanzania tutakuwa tunakosea. Mi ni miongoni mwana bingwa wa kiki, najikubali najua kabisa kila siku mi drama ninazo, ila kufanye hima ili tusikosee"

On the other hand Nandy had this to say “Tutashirikina na sereikali ili kuhakikisha kuwa jambo kama hilo halijirudii tena, naomba radhi kwa umma na haikuwa haina yangu jambo kama hilo litokee”

Subscribe to receive daily news updates.