The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Diamond Platnumz’s special message to President Magufuli from the US

Diamond is currently in the US

Chibu Dangote has sent out his congratulatory message to Magufuli hours after the president launched the first state owned airplane, “Air Tanzania”.

“Super Proud of my President and My Government....Binafsi ilikuwa inaniumiza sana kuona nchi yetu inakosa kuwa na Shirika lake lenyewe la Ndege... Walau Leo hii nasi tumepata cha kujivunia mbele za watu, na naamini huu ni mwanzo tu Mengi yako njiani....Wasiopenda kufanya kazi na Kulipa Kodi ndio watalalamikia Uongozi wako maana wanataka vya Ubwete, au Maisha ya Mkato.. ila mie binafsi nafurahishwa na Uongozi wako maana sio Mtu wa Ahadi, Ni Mtu wa Vitendo, yaani Unalolisema Unatekeleza haswa....Na nchi Haiwezi Kujengwa Bila Kuwa na Pesa, na Naamini moja ya njia kuu ya Nchi Kuingiza pesa ni kupitia Kodi” wrote Diamond.

ADVERTISEMENT

Useful spending

He added that now Tanzanians will be proud when it comes to paying tax, knowing that their money is being spent in the right way.

“Na Naamini pengine WaTanzania wengi mwanzo walikuwa wavivu wa kulipa kodi maana walikuwa wanaona Kodi zinalipwa ila vitu vinacheleweshwa kufanyika nchini, halaf wanaishia kutambiwa na kuletewa Dharau na Watoto wa Viongozi Mtaani...ila kwa Speed Hii Mpya naamini kila Mtanzania atakuwa na Moyo na Furaha ya kulipa kodi kwasababu Sasahivi spidi ya Utekelezaji imeongezeka, na kila mtu anaona waziwazi na Watoto wa Viongozi skuizi Tunaheshimiana, No Kunyanyasana!!!! Wakinyanyasa mtu ama kuleta dharau za vitambo kujifanya wanachezea ela, Wazazi wao fasta Wanatumbuliwa.....Na hii ndio Tanzania tunayoililia siku zote, Yaani Tanzania ya Kwetu Sote..... Shukran sana Mr President Chama na Serikali nzima kwa ujumla, shukran pia hata Vyama pinzani kwani naamini changamoto zenu ni Mchango pia kwa Serikali Kuzidi fanya Kazi Bora...” added Diamond Platnumz

Vanessa Mdee

ADVERTISEMENT

“Mimi binafsi nilikuwa nachoshwa na maCONNECTION. Naamini Huu ni mwanzo wa mabadiliko. Najivunia kuwa na ndege yetu Air Tanzania, I support this movement, turinge sasa na sisi ‘ What airline are you flying? Jibu: AIR TANZANIA’ khaaaa “

Babu Tale

"Asante Mh Magufuli ili pipa ni sehemu pia ya kuvuta watalii nchini#tanzaniakwanza"

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT