The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Controversial rapper gets rare recognition from look-alike Harmonize

This is sweet!!

Advice

He went ahead and advised the two upcoming artistes that they will be insulted along the way, hated for nothing and many other things, but giving up on their music careers will only be a way of breaking hearts of the people close to them.

ADVERTISEMENT

Konde Boy added that it was good that God created people who look like him and giving up on them will only be a way of letting them down.

Here is his message;

"Mwiko kukata Tamaa ama kukatishwa na mtu yeyote yule katika safari yako ya mafanikio hii safari ni ndefu sana....!!! Utakutana na changamoto nyingi mno....!!! yakiwemo matusi, dharau, uonevu, chuki, namengine kibao ila pale utakapokubali kukata tamaa ama kukatishwa utakuwa umewavunja moyo watu wengi sana....!!!! (1) familia yako (2) ndugu jamaa na marafiki( 3) hata wale wachache waliokuwa wanakutia Moyo na motisha uongeze jitihada nawengine wengi mno....!!! Itakuwa umewavunja moyo ...!!

lakini pia M/mungu ni waajabu na hajawahi kukosea katika hii Dunia kila alifanyalo lina maana Kubwa sana..!!! Wenda kawaumbe Binadam wengine kwa mfano wako nikiwa namaana mnafanana ambalo ni jambo la heri na baraka so ukikata tamaa nao pia utakuwa umewaangusha jitihadazako, maarifa, kuzishinda changamoto ndio njia peke inaweza kuleta faraja kwa wengi wanao kuzunguka zingatia hili ....!!! God bless my twins brothers"

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT