The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

MwanaFA gives update on his condition after contracting Coronavirus

Get well soon!

MwanaFA gives update on his condition after contracting Coronavirus

Tanzanian legendary Rapper Hamis Mwinjuma popularly known as MwanaFA has revealed that he is doing well adding that he is in a stable condition a week after he tested positive for coronavirus. He went to joke that he could even do push-ups.

Speaking to Willy M Tuva on Mambo Msesto, the Bongo artiste disclosed that he had developed some sores on his mouth because of a flu, but he was taking a lot of Vitamin C and oranges.

He further added that Corona didn’t have a cure and that the doctors were treating the symptoms that accompanied the disease instead.

ADVERTISEMENT

Leo ni siku ya saba toka ile siku ambayo nlianza kujisikia vibaya na ugonjwa hauna dawa per se, ugonjwa wanatibu symptoms ambazo zinakuja nayo. Kwa mfano mi nlikua naskia homa kwa hivyo napewa Panadol na kifua changu na mafua nikapewa dawa zinaitwa cetrizon nafikiri na some antibiotics then mdomo wangu ukapata vidonda kwa ajili ya homa kutoka vile kwa hiyo nikawa nakunywa vitamin c nakula machungwa na uangalizi wa kila mara, madakatri wako masaa ishirini na nne hapa kwa hivyo ukigonga tu washafika” said the rapper.

“Kwa hiyo hakuna dawa najua hilo ni swali wanauliza watu wengi unakunywa sawa gani ukaweza kupona covid 19, hakuna dawa ya moja kwa moja japokuwa wanasema chloroquine inatibu lakini madakatri hawajathibitisha, unatibu kile ambacho kinakujia wakati huo” added mwanaFA..

He revealed that President Magufuli had called him the first day he contracted the disease, prayed for him and encouraged him to be strong telling him that God was in control of the situation.

Public stunt

ADVERTISEMENT

When he shared the sad news on social media, some people accused him of pulling a public stunt and clout chasing. The star dismissed the allegations saying e was not the sort of man who loved drama or such attention.

The Dume Suruali hit maker said that he shared the news as his duty to share the information with the other people and to also give them hope since having Corona wasn't the end of the world.

MwanaFa tested positive for the disease following a recent trip to South Africa.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT