The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

WCB’s Mbosso pens down emotional message after death of his Baby Mama

Gone too soon

WCB’s Mbosso pens down emotional message after death of his Baby Mam

WCB Signee Mbwana Yusuph Kilungi alias Mbosso is mourning the sudden death of his baby mama identified as Boss Martha who passed away on Wednesday following a short illness.

In an emotional post on his Instagram, the Maajab singer, disclosed that he kept his relationship with the deceased a top secret and only few of his friends and family knew they had a daughter together.

Mbosso pointed out that he was an item with Martha for close to five years and she died before they could even agree on telling the world they had a kid together and why their affair was low-key.  

ADVERTISEMENT

Mbosso's emotional post

Licha ya Vipingamizi Vingi juu ya Mimi kuwa na Wewe takribani au ndani ya zaidi ya Miaka Mitano (5) iliyopita, hatukuacha kuonyeshana ni kiasi gani tulikuwa tunahitajiana sana kwenye Safari yetu ya maisha , Japo jitihada zetu hazikuweza kufanikisha Mimi na wewe Kuwa Pamoja .., ila mbegu tuliyoipanda vuno letu ulichagua Liwe siri baina yangu Mimi na wewe.., sikukubishia japo Mwazoni nilikukatalia kwa sababu 'najijua kifua cha Kuficha Siri sina..' , ila nikakuahidi sitadiriki kuitoa Popote na hata waliotuhisi tulikuwa tunawakatalia.., iwe Faragha au mbele ya hadhira tulitamka Sio Kweli, Hapana, Hakuna Kitu Kama hicho..' Hayo ndo yalikuwa Majibu Yetu..,”

"Sasa Umeondoka bila kunipa ruksa juu ya hili Je, niendelee kuitunza hii siri .., na Je, anavyoendelea Kukua akija kuniuliza na nikwambia Mama alisema uwe siri atanielewa Kweli ''.." ?.. Wallah Moyo wangu unauma Martha , hukupaswa kuondoka wakati huu, Mapema mno Dah ..!! "Nenda Martha Mwingi Furaha na Ucheshi , Hata Mama Kasema Leo Msiba..:, ' jana ulikuwa unatabasamu hadi ulipofumba Macho , "Innalillah Wainnailaih Raajuun " ..' Mwenyezi Mungu akupe Kauli thabiti inshaallah.., ' Lala salama Martha,” reads Mbosso’s emotional post.

ADVERTISEMENT

Stand-up comedian

Martha was a fast-rising stand-up comedian and actress in Tanzanian. She had appeared in several episodes of “Cheka Tu” a platform that brings together top Tanzanian comedians.

Reports indicates that she passed on after being admitted in Hospital with complaints of back-pain and Malaria. 

Mbosso's Post

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT