The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Why I love Zari - Shiloleh speaks on Diamond’s exes

Mimi bado nitakuwepo team Zari

In an interview with Bongo 5, Shiloleh revealed that she loves Zari since she is smart and gave Diamond two children.

Bad habit

The singer stressed out that Tanzanians had a bad habit of hating on other people’s success, something she would never do to the Boss lady.

ADVERTISEMENT

Wakati Diamond alikuwa Anataka mtoto hakuna aliyempa. Katoka dada wa watu alikotoka kampatia Nasibu watoto wawili. Nasibu Mwenyewe anampenda sana Tiffah vibaya mno na mtoto huyu mwingine Abdul Dylan. Mimi sasa nitasema huyu dada namchukia kwa kipi. Mimi kama hajawai kunikosea nitaanza aje kumtengenezea beef. Nitakuwa mswahili too much siwezi. Mtu hakununulii bundles, hakununulii simu, mtu hakujali chochote kwenye maisha yako si umuache aishi Maisha yake. Wabongo tuache fitina kama hizi, roho Mbaya, she said.

Brains

When pressed to answer if she never recognised Wema Sepetu and Hamisa Mobetto, the singer cleared the air saying that Wema was like her sister while Mobetto was like her young one.

Sio kwamba namtetea hapana ila la kwamba tu ni tumezidi Wabongo. Huo ni wivu wa Maendeleo na hawawezi kumshika yule dada, ana akili. Mimi bado nitakuwepo team Zari. Mimi nampenda kwasababu ana akili. Wema ni ndugu yangu. Mimi nampenda Zari kwa mahusiano yake na Diamond wamezaa , ametuletea watoto wawili, Hamisa naye ni kama ndogo wangu, she added.

ADVERTISEMENT

Diamond Platnumz has sired children with Zari Hassan [2] and Hamisa Mobetto [1]. The Wasafi Classic Baby C.E.O recently attended Daylan’s birthday party; a son he sired with Hamisa.

He is set to attend Tiffah’s birthday [sired with Zari], in South Africa where he will fly out 30 people to celebrate his daughter’s birthday.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT