The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

William Ruto speaks on having UDA as his back up plan

Tutajipanga na UDA – William Ruto

Deputy President William Ruto

Deputy President William Ruto has said that the United Democratic Alliance (UDA) is his back up plan, in case things don’t work out with Jubilee.

Speaking on Thursday, Ruto said UDA is a party he is familiar with, having worked together in pushing the government agenda, and there is nothing new they will be starting.

Wale ambao wanatusukuma tutoke Jubilee kwa sababu zao kibinafsi na unafiki ambao wanaendesha kwenye chama ikifika pale vile umesema watangaze hawataki wengine wetu katika chama cha Jubilee, itabidi tuwe na mpango mbadala.

Ikifika hapa mbele kusiwe na maelewano, basi tutajipanga na chama cha UDA kwa sababu ni chama tunajua na tumekijenga Pamoja kwa ushirikano na Jubilee na tumeendesha sera ya serikali Pamoja. Hakuna kipya tutaanzisha ni kuendelea mahali,” said the Deputy President.

ADVERTISEMENT

DP Ruto added that anyone asking if he is in Jubilee or UDA is only trying to divide them because they are one and the same, courtesy of the coalition agreement they signed ahead of the 2017 general election.

Chama ya jubilee na UDA iko na coalition agreement ya ushirikiano na tumekuwa na ushirikiano kwa sababu kuna wabunge watano wamechaguliwa na chama cha UDA. Kuniambia kama niko Jubilee ama UDA ni kujaribu kutugawanya kwa sababu UDA na Jubilee ni moja kwa sababu ya coalition agreement,” said Ruto.

During the interview, the DP addressed among other issues; why he is yet to take the covid-19 vaccine and why the stadiums promise has not been achieved, eight years later.

JOIN OUR PULSE COMMUNITY!

Unblock notifications in browser settings.
ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT