Hamisa Mobetto opens up on her baby daddies for the first time
Hamisa speaks!!
Recommended articles
She went ahead and said that her first born daughter was born with a man who loved her and provided everything for her. She added that her second born child was also born out of a good relationship and everything is provided for them.
The fashion stylist in her long post thanked her baby daddies for the support they have given her over time.
“Pengine hufahamu alipotoka Hamisa Mobetto... Wacha nikufahamishe, nilianza kutambulika rasmi kwenye tasnia ya urembo mwaka 2010 baada ya kuibuka mshindi wa Miss XXL After School Bash. Njia ya mafanikio ilifunguka hapo na hatimae nilishiriki Miss Tanzania na Also Miss New World Tanzania Na Kua first Runner Up 2012. Lakini Pia Nilifanikiwa Kushriki Miss UniAfrica na kuingia Top Ten... Safari ikaendelea na kwa kuwa urembo ni kipande cha sanaa niliingia kwa pia kwenye Bongo Movie na kucheza filamu kadhaa na huku pia nikiwa Video Vixen kwa baadhi ya nyimbo za Bongo Fleva... Nisieleweke vibaya kwa hili, kitanda hakizai haramu... nilipata mtoto wangu wa kwanza miaka michache iliyopita na ninashukuru katika mahusiano yale nilipendwa mimi na mwanangu na kuhudumiwa kwa kila kilichohitajika baadae tena nikapata mtoto mwengine katika mahusiano mengine ambayo pia yalikuwa mazuri na huduma zote kama kawaida zilikuwepo na zinaendelea kuwepo mpaka sasa... Shukrani kwa baba wote wa watoto wangu...” read part of her post.
She went on to ask for forgiveness from the people she might have wrongly crossed paths with previously, stating that she had grown into a new person and she would not want what occurred in the past to repeat itself.
Eyewitness? Submit your stories now via social or:
Email: news@pulselive.co.ke