The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Harmonize explains why he shared pictures of his look-alikes

He comes clean!

Proud

He went on to say that he was more proud because his look-alikes were proud to look like the WCB first born.

ADVERTISEMENT

Harmonize added that he thought for a while on how he would talk about them but was careful because a lot of people misinterpret what is said, and that is why he prayed for them in his post and encouraged them together with other people.

“Kwanza kabisa vitu vilikuwa vipo mtandaoni siku nyingi vitu vinazungumzwa tofauti tofauti lakini watu kwa mtazamo wao tofauti nilikuwa naona kwamba wanahisi mimi nachukia bila kutambua ya kwamba licha ya kuwa Harmonize, nimekuwa katika mazingira ya dini bro nomatter nafanya kitu gani naheshimu sana kudra za Mwenyezi Mungu maana ndio zimefanya nifike hapa mimi kuna wasanii wengi sana wako mtanii wanaimba lakini hawajafika hapa. So ikitokea mtu akafanana na mimi alafu akawa proud, najiskia Mwenyezi Mungu ni wa ajabu sana.

So mimi najisikia proud mara Kumi lakini sasa nikawa natafuta kiasi gani niizungumzie kwa sababu unaweza sema kitu mtu mwingine akaichukulie katika njia ingine tofauti kama anatafuta attention nikaona pia kuna Harmo Junior nikaona ni wakati mzuri so nikawaombea tu kwa Mwenyezi Mungu,” said Harmonize.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT