ADVERTISEMENT

Jokate Mwegelo’s first message after government appointment

She has been out of social media for months!

The former beauty queen went ahead and disclosed that she had a challenging 2017 that saw her almost give up on everything, but she did not.

Jokate in the post also encouraged that despite all challenges one might be going through, they should always remember to be humble and pray to God to give them strength to wait for his timing.

ADVERTISEMENT

Jokate’s post;

“Amini Mungu ni mwingi wa rehema kamwe hamtupi amtumainiye yeye!! Ahsante Mungu Wangu. Labda ni-share kitu kidogo, kuna muda mwaka jana mwishoni nilikuwa so down nilitamani kukata tamaa na kila kitu kwenye maisha nilikuwa pia sijaelewa vizuri hatma yangu kwenye siasa. Nilikuwa kwenye mkutano mkuu wa chama kuna mdada mmoja kutoka Arusha akanikimbilia na kunikumbatia kwa nguvu sana alikuwa na mama mmoja hivi walikuwa wamekuja kupiga picha namimi. Huyo dada mdogo hivi akasema ananipenda sana sana na mimi ndio nilimfanya aingie kwenye siasa na akagombea nafasi kupitia mkoa wa Arusha akashinda!! Nikabaki natabasamu. Ikanipa nguvu kubwa ya kupiga moyo konde na kusonga mbele. Nilifurahi kuona kuna mdada nimeweza kumhamasisha na kumpa ujasiri wa kugombea.

Unaweza ukawa unapitia mitihani migumu sana kwenye maisha yako lakini inakubidi usikate tamaa saa zingine kwasababu tu ya wale wanaokutegemea, wanaokuangalia na kuvutiwa nawe na kujifunza kupitia maisha yako. Lakini zaidi kwasababu safari ya mafanikio ina milima na mabonde, inabidi upambane na kiukweli hakuna mafanikio yasiokuwa na changamoto. Na kuna muda changamoto ndio haswa zinatengeneza zetu. Kikubwa zaidi wakati wa changamoto tukumbuke kuwa wanyenyekevu, wenye kujishusha na kumuomba Mungu aendelee kutupa imani, hekima na busara ya kusubiri wakati wake. Tukumbuke Mungu hamtupi mja wake. Nawatakia Jumapili Njema. Nawapenda Sana. Ahsanteni,” she said.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

Recommended articles

Billy Miya & TikToker Francie Mummie clarify dating rumours

Billy Miya & TikToker Francie Mummie clarify dating rumours

Inside Anerlisa Muigai's Sh39,570,000 social media empire

Inside Anerlisa Muigai's Sh39,570,000 social media empire

Trouble in paradise, Amber Ray Kennedy Rapudo break up for the 3rd time

Trouble in paradise, Amber Ray Kennedy Rapudo break up for the 3rd time

Milly WaJesus reacts to backlash over brother's wedding fundraiser

Milly WaJesus reacts to backlash over brother's wedding fundraiser

MC Fullstop shares update on his irreversible health condition

MC Fullstop shares update on his irreversible health condition

Kwambox reveals all-time celebrity crush, says he looks fine

Kwambox reveals all-time celebrity crush, says he looks fine

Angry Eric Omondi speaks after release from 3rd arrest

Angry Eric Omondi speaks after release from 3rd arrest

Kajala reacts after Harmonize shared photos of look-alike vixen

Kajala reacts after Harmonize shared photos of look-alike vixen

Former KTN anchor appointed to State House job

Former KTN anchor appointed to State House job

Pulse Sports

Ferdinand Omanyala storms to 100m world-leading time, makes February history

Ferdinand Omanyala storms to 100m world-leading time, makes February history

Report: Erik ten Hag rules out trophy parade if Manchester United win

Report: Erik ten Hag rules out trophy parade if Manchester United win

Ranking Xavi’s European exits with Barcelona

Ranking Xavi’s European exits with Barcelona

Video: Christian Atsu’s remains arrive in Ghana

Video: Christian Atsu’s remains arrive in Ghana

Atsu’s body to be brought home for burial - Ghana Embassy

Atsu’s body to be brought home for burial - Ghana Embassy

Sad news: Christian Atsu found dead in Turkey

Sad news: Christian Atsu found dead in Turkey

How well do you know your favourite La Liga club?

How well do you know your favourite La Liga club?

Messi gives in to Alphonso Davies' demand after 3 years

Messi gives in to Alphonso Davies' demand after 3 years

Why Greenwood could have played his last match for United

Why Greenwood could have played his last match for United

ADVERTISEMENT