The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Nachukia watu wanachukua Stivo Simple Boy kama comedian - Octopizzo

Here is what Octo has to say!

Nachukia watu wanachukua Stivo Simple Boy kama comedian - Octopizzo

Legendary rapper Henry Ohanga popularly known Octopizzo has revealed that he hates the way Kenyans make fun of Stivo Simple Boy's music.

In an interview with Rick Media, Mr Ohanga disclosed that the Mihadarati hit maker was a hardworking young man, a man passionate and serious about his music and it was unfortunate that people didn't appreciate him.

Octopizzo said that he was disgusted by people who couldn’t write three lines on twitter but were the first to criticize Stivo. He urged them to step up, and join them in the industry.

ADVERTISEMENT

"Napenda hiyo ya mihadarati hizo zingine bado ndio nataka kuctach up sijaziskia sana cz one ni ngoma ilitoka kitambo na nafurahi sana ilifika time wase wanamwangalia kama msanii kitu nachukia ni wase wengine wanamchukulia kama comedian na ni msanii mserious anapenda art yake, anaifanya na roho yake yote hiyo ndio kitu watu hawajui. Hata akiongea unaeza tell anafanya hii kitu na roho yake yote but watu wengine wanaichukulia kama joke. Mi hukasirika mse haezi andika mistari tatu kwa twitter anachekelea msanii amedu ngoma na akashoot video, ka unajua unaeza criticize andika mistari tupatane kwa uwanja" said the rapper.

Collaborating with Khaligraph Jones

Asked whether he had refused to do a collabo with Papa Jones, Octo said that Khali had never looked for him, called him or asked to do a collabo with him.

Mimi hajai nipigia simu the last time tulipatana nlikua nalaunch Wakiritho kwa Trace. Tukapiga mastory tukaongea. Halafu most of the time si hupatana time ya kazi. Hajai nipiga simu akasema Buda uko area gani nlikua nataka tuchapiane ama kuna mabeats kadhaa nlikua nataka usikize. Hivyo ndio mi hufanya nikita collabo na mtu Fulani. Nampigia simu hata kama sina number yake namtafuta. Hajai nipigia simu na akona number yangu na ya manager wangu" said the singer.

ADVERTISEMENT

First naeza mwambia Ohanga si rapper Ohanga ni CEO. Rapper ni Octopizzo so ameitisha the wrong person collabo. Akitaka Collabo aongee na Octopizzo, Mr Ohanga ni CEO kumfikia ni ngumu, rada chafu” added Number nane's finest.

He asked people to stop comparing him and Khaligraph since both of them were on different levels and because their music was also different.

Octopizzo disclosed that if he decided to do a collabo with King Kaka or Yes Bana singer, people wouldn’t pay attention to the music but the lyrics and compare whose were better.

On his views on Marijuana, the raper said that it was a natural plant hence the need to be legalized. He went ahead to say that Cigarettes have killed more people than Marijuana.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT