The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Harmonize brings city market to a standstill as he dishes out cash [Video]

Pesa makaratasi!!

Same challenges

In a post that accompanied the video, Harmonize disclosed that five years ago he was a hawker in the same market and he was undergoing the same challenges they were facing.

ADVERTISEMENT

He went ahead and encouraged them not to give up on themselves because challenges will always be there and to never give up.

Here is his post;

“Miaka (5) iliyopita nilikuwa nafanya biashara za kudunduliza maeneo haya ya  kwa lugha nyengine nilikuwa  shida, tabu, shuruba, nilizokuwa nikizipitia M/mungu peke ndie anayefahamu..!! Hata wimbo wangu wa  90% umebeba uhalisia wa maisha yangu sana......!!!! Sina utajiri wowote....!!! ila afadhali niliyoipata najihisi ni mwenye bahati Sana...!!! Maana maisha ninayoishi Sikuwahi hata kuyaota, Nimshukuru M/mungu kwa kunipa Nafasi hii ya kukumbuka Ndugu zangu ambao nimewaacha katika

Video

ADVERTISEMENT

Eneo hili na kupata nafasi ya kuzungumza nao mawili ,matatu Ya kuwapa Moyo...!! faraja...!!!!! Mungu anawaona na Maombi yangu yapo kwenu...!!! sitochoka Kuwa nanyi siku zote...!!! Na kidogo Au kingi changu kiwafikie kama fadhila ambazo ni ngumu Kuwafikia watu wote..!!! Ila nyie Mliobahatika kwa leo mkawe wawakilishi wa wengine M/mungu awabariki sana...!!! Ndugu zangu Changamoto, pandashuka, majaribu, zifanye kuwa motisha wa kukufanya uongeze juhudi...!! ..!! Ipo siku....!!!  & ,” said Harmonize.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT