WCB singer Rajab Abdul Kahali popularly known as Harmonize brought Kariakoo Market in Tanzania to a standstill, as he dished out cash to excited fans.
Same challenges
In a post that accompanied the video, Harmonize disclosed that five years ago he was a hawker in the same market and he was undergoing the same challenges they were facing.
He went ahead and encouraged them not to give up on themselves because challenges will always be there and to never give up.
Here is his post;
“Miaka (5) iliyopita nilikuwa nafanya biashara za kudunduliza maeneo haya ya kwa lugha nyengine nilikuwa shida, tabu, shuruba, nilizokuwa nikizipitia M/mungu peke ndie anayefahamu..!! Hata wimbo wangu wa 90% umebeba uhalisia wa maisha yangu sana......!!!! Sina utajiri wowote....!!! ila afadhali niliyoipata najihisi ni mwenye bahati Sana...!!! Maana maisha ninayoishi Sikuwahi hata kuyaota, Nimshukuru M/mungu kwa kunipa Nafasi hii ya kukumbuka Ndugu zangu ambao nimewaacha katika
Video
ALSO READ: Harmonize explains hit song Nishachoka
Eneo hili na kupata nafasi ya kuzungumza nao mawili ,matatu Ya kuwapa Moyo...!! faraja...!!!!! Mungu anawaona na Maombi yangu yapo kwenu...!!! sitochoka Kuwa nanyi siku zote...!!! Na kidogo Au kingi changu kiwafikie kama fadhila ambazo ni ngumu Kuwafikia watu wote..!!! Ila nyie Mliobahatika kwa leo mkawe wawakilishi wa wengine M/mungu awabariki sana...!!! Ndugu zangu Changamoto, pandashuka, majaribu, zifanye kuwa motisha wa kukufanya uongeze juhudi...!! ..!! Ipo siku....!!! & ,” said Harmonize.