The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Why Tanzanian song writer never asked to be paid for Diamond’s hit song Kamwambie

Alikuwa anauza duka la nguo

Junior, who owns Sharobaro recording label, divulged that he met the now most sort after artist while he was selling clothes and trying to make it in the music world.

Rapping

ADVERTISEMENT

He went on to add that he advised the now father of three to stop rapping and try singing, something that saw Diamond reach to the highest level.

“Wakati nakutana na Diamond ilikuwa mtaani tu maskani pale Magomeni alikuwa anauza duka la nguo, ikawa kila nikipita anasema Bob bwana  nifanyie kazi, siunajua mimi nina roho tofauti ..! alikuwa ana-rap rap kwa akili yangu nikamwambia aachane na muziki huo yaani muziki wa ku-rap rap hapana tujaribu kuimba. Ndio akaja kamwambie ikawa kama ina U-RnB nikamwambia badilika kidogo imba Bongo Fleva Zaidi.”

Not a dime

The 2011 Tanzania Best upcoming Artist nominee noted that despite giving a helping hand in writing the song, he never asked for a dime despite the song being a breakthrough for the Iyena singer.

ADVERTISEMENT

“Then Alhamdulillah tukatoa wimbo ukawa mkubwa lakini kumbuka kwa wimbo huo kuwa mkubwa sijawahi kuchukua shilingi mia. Album yake yote iliyotoka nimelipwa nyimbo nyingine lakini Kamwambie sijataka nilipwe kwa sababu aliniomba na nikapenda anavyoimba so baraka zangu na baraka zake Mungu akaona kilio chetu, Diamond akawa mkubwa na mimi mkubwa na sharobaro ikawa kubwa,” he told Bongo 5.

Diamond Platnumz, who now boasts of releasing hit after hit, owns a recording label [Wasafi Classic Baby] and a TV station [Wasafi TV].

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT