The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

I will arrest you - Diamond to Hamisa after witchcraft revelations

Huku kumeharibika

In an Interview with Wasafi TV, Diamond has explained that he will spearhead the arrest of Ms Mobetto over what he termed as going against cybercrime laws.

The WCB President stated that he has defended Hamisa before for a cybercrime she committed when she was quarreling with Wasafi’s producer, Zamaradi Mketema.

ADVERTISEMENT

“Nitakukamata mwenyewe nikupeleke, uwe funzo kwa watu wengine ambao wanatumia watu watukane. Nishakuona ukiwatuma wakatukane kwa watu wengine, kwa sababu uliwatuma wamtukane na Zamaradi, nikakuombea msa. Ulitakiwa ukamatwe wewe kwa sababu ya kesi ya cyber crime, nikajaribu kuombea msamaha kwa kina Zamaradi. Alafu unajaribu kukifanya the same thing kwa mama yangu, siwezi kukifumbia macho," Diamond said.

“Kuna vitu ambavyo vinaendelea kwenye Mitandao ambapo kuna watu wanataka kuichafua familia  kwa kuwatengenezea uongo na kuna vitu vya kweli. Kuna Moja ya Mtu mwanamke ambaye alikuwa ameennda kwa Mganga sijui anataka aniroge, nimuoe, Nimpatie nyumba na vitu vingine vingi. Mimi pia nilitumiwa voice Note, alafu unajua unasikia kitu ambacho unajua huyu ni yeye, alafu nikamwabia huyu ni wewe na kwanini unaenda kwa mganga ili uniroge, iliniumiza sana. Straight nikamtumia mhusika sio vizuri alafu hata angalau ungemiroga kwa kazi zangu sio ati mimi nikuoe ama nikupe nyumba. Why do you wanna do that. Kama unataka Mwanaume zidisha mapenzi mpaka aloe, maana hiki unachofanya sio kizuri” said Diamond

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT