The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Diamond, Lulu Hassan, Jalango, Wema, Alikiba and other Celebrities Mourn Mzee Majuto

King Majuto died on Wednesday Night

Famed celebrities took to social media to mourn the late Mzee Majuto with touching condolence messages in remembrance of the good old days when the actor used to grace their TV screens.

"King Majuto alikuwa Kielelelezo cha safari ndefu ya sanna kwa nchi yetu, kwa Muda woteamedhihirisha Kipaji, ujuzi, na uwezo wa hali ya juu katyika uigizaji na uchekeshaji na hivyo kuwa kipenzi cha Watanzania na wasanii Wenzake, Hatutasahau uchesi Wake, upendo na uzalendo kwa nchi yake wakati wa uhai wake” said Magufuli.

ADVERTISEMENT

WCB President Diamond Platnumz, Wema Sepetu, Vanessa Mdee, Harmonize, Jalango, Rashid Abdalla, Lulu Hassan, Muna Love, Alikiba and other celebrities are also mourning Mzee Majuto.

List of Celebs who have Mourned Mzee Majuto

Diamond Platnumz

“May your Humble Soul Rest in Paradise KING.Will always Miss and Love you”

Vanessa Mdee

ADVERTISEMENT

“Pumzika Baba ... Rest Easy King Majuto. Mungu ailaze Roho yako pahali pema.”

Alikiba

“Ewe Mwenyezi Mungu hakika Mzee Wetu Amri Bin Athuman (King Majuto) yuko katika dhima yako na kamba ya ujirani wako, basi mkinge na fitina ya kaburi na dhabu ya moto nawe ndiwe mstahiki wa utekelezaji na ukweli msamehe na umrehemu hakika Wewe ni mwingi wa kusamehe, mwingi wa kurehemu.AMIN”

Rashid Abdala

“Haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye anayemwamini Allah swt huuongoza moyo wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu”. Ulikuwa faraja na tiba ya wengi maishani Alhaji Amri Athuman  . Inshallah ukakabidhiwe kitabu chako kwa mkono wa kulia. ”

ADVERTISEMENT

Jalang’o

“Mzee Majuto...King of Comedy... ”

Chipukeezy

“Rest In Peace champ”

Lava Lava

ADVERTISEMENT

“R...I..P Mzee Wetu”

Harmonize

“Sisi ni wa Mola na kwake tutarejea ...!!”

Shamsha Ford

“Rest in peace dady

ADVERTISEMENT

Muna Love

“Shujaa umemaliza kazi yako umenda kupumzika na uko sehemu salama unafurahi ..Sifa na Utukufu tumpe Baba ,Mungu wetu huwa akosei alijua utafanya kazi utamaliza na utaenda kupumzika ukifurah nae pamoja, Roho Mtakatifu akaisimamie na kuiongoza familia yako .R.I.P MZEE MAJUTO.”

Mbosso

“Inna llillah wainna ilaih raajuun... "njia yetu Moja”

ADVERTISEMENT

Wema Sepetu

“Alipangalo Allah... I wished to work with you baba angu... Ila Allah hakupanga... Kapumzike baba angu... Mungu Mkali jamani... Ila kama kuteseka tu umeteseka jamani.... RIP King”

Esma Platnumz

“Mungu ailaze roho mahali pema peponi Inshallah, Mzee wetu KING”

Mama Dangote

ADVERTISEMENT

“Dah.... Kapumzike kwa Amani baba yetu... Mbele yako nyuma yetu.... Innah lillahy wa innah illahy rajiun”

Joti

“R.I.P  Umetuachia Maumivu Makubwa sana ktk Tasnia ya Comedy Tanzania Sisi wanao,Tutakukumbuka kwa kazi zako,Upendo wako,Tabasamu lako Daima milele,Tulikupenda sana ila Mungu amekupenda zaidi,Pumzika kwa Amani Mzee wetu”

Mpoki

“Uliumwa sana,ulisemwa sana ,hakika yametimia,baada ya kuzushiwa mungu kaamua jambo lake,,gari la comedy limekosa dereva pumzika kwa amani mzee wetu Baba yetu,mwalimu wetu  ni lazima”

ADVERTISEMENT

Lili Ommy

"Pumzika kwa Amani Mzee Wetu. KING ”

Steve Nyeyere

“Pumzika BABA tulikupenda ila MUNGU amekupenda zaidi mntakukumbuka daima asante”

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT