The sports category has moved to a new website.
ADVERTISEMENT

Zuchu reacts after government banned her 'Mtasubiri' video with Diamond Platnumz

In a major setback to Zuchu and Diamond Platnumz, the video has been banned from being played on TV

Diamond and Zuchu get cozy as they unveil Mtasubiri video

Tanzanian star, Zuchu has reacted to the decisive move in which the Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA) banned Diamond Platnumz’s 'Mtusubiri' music video featuring the 'Sukari" hitmaker from being played on TV.

Zuchu noted that after investing four days in the video which according to her did not disrespect any group or religion, she only learnt of the ban on social media like everyone else.

"Jana Nilipokea taarifa hizi kupitia mitandao kama Nyinyi tu mashabiki zetu kwamba wimbo wetu unapigwa marufuku sababu tajwa kua inaleta ukakasi kwenye jamii husika." Zuchu explained.

She explained that before being allowed to shoot the video in a church, the facility's management inspected them and listened to the whole story line before granting them authority.

ADVERTISEMENT

"Ifahamike kwamba mimi ndie nilishoot hiyo scene ikinitaka kuwepo kanisani nikiwa nafanya mazoezi ya kwaya sio misa ni mazoezi ya kikwaya nikiwa nimevalia joho lenye stara .Kanisa hili lipo kisarawe na kabla ya kushoot masister walitukagua na kusikiliza kwa makini stori yetu na kuridhishwa nayo ndipo hapo tukapewa ruhusa ya kushoot." Zuchu wrote.

She acknowledged that not everyone would be impressed by her works of arts, adding that in her creativity, she is always keen not to disrespect any religion and the video in question is a normal.

"Nafahamu si kila kazi ya kisanaa itamfurahisha kila mtu lakini kuvunjia heshima dini si kitu ambacho kipo ndani ya weledi wa kazi yetu sababu tunafahamu fika tunao mashabiki wa dini zote na kulinda hisia zao ni moja ya nguzo kuu Kwenye mziki hatueki matabaka .

"Mtasubiri video ni ya kawaida sana A very innocent sweet story .Naumia sababu hii inaenda kudumaza sio tu mziki ila Tasnia nzima kwa ujumla .HAYATI baba wa taifa alisema “Utii ukizidi huzaa uoga ,Uoga huzaa unafiki na kujipendekeza mwisho wake Umauti. Huu ndio umauti wa Tasnia hii unapoanzia." Zuchu wrote.

She faulted the BASATA for the move, challenging them to be fair in their actions and divulge the community that complained over the video.

ADVERTISEMENT

"Naomba nielekeze malalamiko yangu kwa mamlaka husika BASATA walezi na wazazi nimeambatanisha video na movie baadhi ambazo zimetoka kabla ya mtasubiri vipi hizi hazina ukakasi .Lakini ni jamii ipi hiyo iliyoleta malalamiko mpaka nyie kufungia video iliyogharimu muda wa siku nne na pesa nyingi kuishoot tena mkaifungia bila hata kutaka kusikiliza utetezi ." Added the Sukari hitmaker.

Controversial music video scene

In the controversial music video, Zuchu is seen eloping from Church where she is a choir member after receiving Diamond’s phone call.

It is this 26-seconds scene which served as the intro to the video is what has landed the WCB president in trouble with TRCA with the authority explaining that the intro scene has caused a lot of discomfort among Christians – who feel disrespected.

ADVERTISEMENT

“Mamlaka ya Mawasiliaono Tanzania (TRCA), imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ya kuzuia usambazaji wa video ya wimbo wa Wanii tajwa juu unaopigwa katika mitandao ya kijamii na vyombo vya utangazaji.

Msanii tajwa hapo juu ametoa video ya wimbo unaofahamika kama ‘Mtasubiri sna’ an katika video hiyo kuna kipande kimeonyesha wahusika wapo kanisani wanaimba kwaya lakini baadae Wakaacha na kuelekea kwingine. Kipande hicho cha video kimeleta ukakasi miongoni mwa waumini wa Madhehebu ya dini na kuleta hisia kwamba ni dharau ya dini/madhehebu Fulani,” reads part of the TRCA letter dated 29 April 2022.

ADVERTISEMENT

Eyewitness? Submit your stories now via social or:

Email: news@pulselive.co.ke

ADVERTISEMENT